27 Pia walifuma kanzu za kitani bora kwa ajili ya Haruni na wanawe,+28 na pia kilemba+ cha kitani bora, kofia maridadi za kitani bora,+ suruali fupi*+ za kitani bora kilichosokotwa,
4 Anapaswa kuvaa kanzu takatifu ya kitani,+ na suruali fupi*+ ya kitani inapaswa kufunika mwili wake,* na anapaswa kujifunga ukumbuu wa kitani+ na kuvaa kilemba cha kitani+ kichwani. Ni mavazi matakatifu.+ Ataoga kwenye maji+ na kuyavaa.