Kutoka 29:8, 9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Halafu walete wanawe na kuwavisha kanzu+ 9 na umfunge Haruni na wanawe ukumbuu viunoni na kuwavisha kofia zao; ukuhani utakuwa wao, nayo itakuwa sheria ya kudumu.+ Hivyo ndivyo utakavyowaweka rasmi Haruni na wanawe ili watumike wakiwa makuhani.*+
8 “Halafu walete wanawe na kuwavisha kanzu+ 9 na umfunge Haruni na wanawe ukumbuu viunoni na kuwavisha kofia zao; ukuhani utakuwa wao, nayo itakuwa sheria ya kudumu.+ Hivyo ndivyo utakavyowaweka rasmi Haruni na wanawe ili watumike wakiwa makuhani.*+