Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 28:1-3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “Utamleta Haruni+ ndugu yako pamoja na wanawe,+ Nadabu na Abihu,+ Eleazari na Ithamari+ kutoka miongoni mwa Waisraeli ili wanitumikie+ wakiwa makuhani. 2 Utamtengenezea Haruni ndugu yako mavazi matakatifu ili awe na utukufu na fahari.+ 3 Waambie mafundi wote wenye ustadi,* ambao nimewajaza roho ya hekima,+ wamtengenezee Haruni mavazi ili kumtakasa, ili anitumikie akiwa kuhani.

  • Kutoka 28:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 “Pia utawatengenezea wana wa Haruni kanzu,+ ukumbuu, na kofia, ili wawe na utukufu na fahari.+

  • Kutoka 28:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Haruni na wanawe watazivaa wanapoingia kwenye hema la mkutano au wanapokaribia madhabahu kuhudumu mahali patakatifu, ili wasipatwe na hatia na kufa. Ni sheria ya kudumu kwa Haruni na uzao wake.*

  • Kutoka 40:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Utawatia mafuta kama ulivyomtia mafuta baba yao,+ ili wanitumikie wakiwa makuhani, nao wataendelea kuwa makuhani daima katika vizazi vyao vyote kwa sababu wametiwa mafuta.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki