-
Kutoka 28:1-3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
28 “Utamleta Haruni+ ndugu yako pamoja na wanawe,+ Nadabu na Abihu,+ Eleazari na Ithamari+ kutoka miongoni mwa Waisraeli ili wanitumikie+ wakiwa makuhani. 2 Utamtengenezea Haruni ndugu yako mavazi matakatifu ili awe na utukufu na fahari.+ 3 Waambie mafundi wote wenye ustadi,* ambao nimewajaza roho ya hekima,+ wamtengenezee Haruni mavazi ili kumtakasa, ili anitumikie akiwa kuhani.
-