Kutoka 28:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 “Pia utawatengenezea wana wa Haruni kanzu,+ ukumbuu, na kofia, ili wawe na utukufu na fahari.+ Mambo ya Walawi 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Halafu Musa akawaleta wana wa Haruni, akawavisha kanzu, akawafunga ukumbuu, na kuwavisha kofia,+ kama Yehova alivyomwamuru Musa.
13 Halafu Musa akawaleta wana wa Haruni, akawavisha kanzu, akawafunga ukumbuu, na kuwavisha kofia,+ kama Yehova alivyomwamuru Musa.