Kutoka 28:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Utamtengenezea Haruni ndugu yako mavazi matakatifu ili awe na utukufu na fahari.+ Kutoka 29:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “Mavazi matakatifu+ ya Haruni yatatumiwa na wanawe+ baada yake watakapotiwa mafuta na kuwekwa rasmi kuwa makuhani. Mambo ya Walawi 16:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Anapaswa kuvaa kanzu takatifu ya kitani,+ na suruali fupi*+ ya kitani inapaswa kufunika mwili wake,* na anapaswa kujifunga ukumbuu wa kitani+ na kuvaa kilemba cha kitani+ kichwani. Ni mavazi matakatifu.+ Ataoga kwenye maji+ na kuyavaa.
29 “Mavazi matakatifu+ ya Haruni yatatumiwa na wanawe+ baada yake watakapotiwa mafuta na kuwekwa rasmi kuwa makuhani.
4 Anapaswa kuvaa kanzu takatifu ya kitani,+ na suruali fupi*+ ya kitani inapaswa kufunika mwili wake,* na anapaswa kujifunga ukumbuu wa kitani+ na kuvaa kilemba cha kitani+ kichwani. Ni mavazi matakatifu.+ Ataoga kwenye maji+ na kuyavaa.