Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 28:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 “Pia utawatengenezea wana wa Haruni kanzu,+ ukumbuu, na kofia, ili wawe na utukufu na fahari.+

  • Kutoka 29:8, 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Halafu walete wanawe na kuwavisha kanzu+ 9 na umfunge Haruni na wanawe ukumbuu viunoni na kuwavisha kofia zao; ukuhani utakuwa wao, nayo itakuwa sheria ya kudumu.+ Hivyo ndivyo utakavyowaweka rasmi Haruni na wanawe ili watumike wakiwa makuhani.*+

  • Mambo ya Walawi 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Halafu Musa akawaleta wana wa Haruni, akawavisha kanzu, akawafunga ukumbuu, na kuwavisha kofia,+ kama Yehova alivyomwamuru Musa.

  • Ezekieli 44:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kabla ya kwenda kwenye ua wa nje—ua wa nje mahali palipo na watu—wanapaswa kuyavua mavazi waliyokuwa wamevaa walipokuwa wakihudumu+ na kuyaweka katika vyumba vitakatifu vya kulia chakula.*+ Kisha watavaa mavazi mengine, ili wasije wakawapitishia watu utakatifu* kwa mavazi hayo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki