-
Ezekieli 42:14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
14 Wakati hao, makuhani, wakiisha kuingia, wao pia hawatatoka nje kutoka katika mahali patakatifu mpaka kwenye ua wa nje, lakini humo watayaweka mavazi yao ambayo wao huyavaa kwa ukawaida wakihudumu,+ kwa maana hayo ni kitu kitakatifu. Watavaa mavazi mengine,+ nao watakikaribia kile kinachohusiana na watu.”
-