Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 28:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 “Nawe utafuma kanzu ya kitani bora yenye mirabamiraba na kufanya kilemba cha kitani bora,+ nawe utafanya ukumbuu,+ kazi ya mfumaji.

  • Mambo ya Walawi 16:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 “Naye kuhani atakayetiwa mafuta+ na ambaye mkono wake utajazwa nguvu ili kutenda akiwa kuhani,+ atakayemfuata+ baba yake, atafanya upatanisho naye atavaa yale mavazi ya kitani.+ Hayo ni mavazi matakatifu.+

  • Ezra 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wajenzi walipoweka msingi+ wa hekalu la Yehova, ndipo makuhani katika mavazi rasmi,+ wakiwa na tarumbeta,+ na Walawi wana wa Asafu,+ wakiwa na matoazi,+ wakasimama ili kumsifu Yehova kulingana na mwelekezo+ wa Daudi mfalme wa Israeli.

  • Ezekieli 44:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “ ‘Na itatukia kwamba watakapoingia ndani ya malango ya ua wa ndani, wanapaswa kuvaa mavazi ya kitani, na wasivae sufu yoyote wanapohudumu katika malango ya ua wa ndani na wakiwa ndani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki