Ezekieli 44:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “‘Wanapoingia kwenye malango ya ua wa ndani, wanapaswa kuvaa mavazi ya kitani.+ Hawapaswi kuvaa vazi lolote la sufu wanapohudumu katika malango ya ua wa ndani au wakiwa ndani.
17 “‘Wanapoingia kwenye malango ya ua wa ndani, wanapaswa kuvaa mavazi ya kitani.+ Hawapaswi kuvaa vazi lolote la sufu wanapohudumu katika malango ya ua wa ndani au wakiwa ndani.