Ezekieli 42:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Makuhani wanapoingia, hawapaswi kutoka mahali patakatifu na kwenda kwenye ua wa nje kabla hawajavua mavazi wanayovaa wanapohudumu,+ kwa sababu ni matakatifu. Watavaa mavazi mengine ili waende katika maeneo ambayo watu wanaruhusiwa kuingia.”
14 Makuhani wanapoingia, hawapaswi kutoka mahali patakatifu na kwenda kwenye ua wa nje kabla hawajavua mavazi wanayovaa wanapohudumu,+ kwa sababu ni matakatifu. Watavaa mavazi mengine ili waende katika maeneo ambayo watu wanaruhusiwa kuingia.”