12 atamtoa ng’ombe mzima mpaka nje ya kambi+ katika mahali safi ambapo yale majivu yenye mafuta+ humwagwa, naye atamteketeza juu ya kuni kwenye moto.+ Mahali ambapo majivu yenye mafuta humwagwa, anapaswa kuteketezwa hapo.
27 “Hata hivyo, yule ng’ombe-dume wa toleo la dhambi na yule mbuzi wa toleo la dhambi, ambao damu yao ililetwa ndani ili kufanya upatanisho, atawapeleka mpaka nje ya kambi; nao watateketeza ngozi zao na nyama yao na mavi yao katika moto.+
9 “‘Na mwanamume aliye safi atayakusanya majivu+ ya ng’ombe huyo na kuyaweka nje ya kambi katika mahali safi; nayo yatatumika kama kitu cha kuwekwa kwa ajili ya yale maji ya kutakasa kwa wana wa Israeli.+ Ni toleo la dhambi.