Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 19:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kila mtu atakayegusa maiti, nafsi ya mtu yeyote atakayekufa, na ambaye hatajitakasa, ameitia unajisi maskani ya Yehova,+ nayo nafsi hiyo lazima ikatiliwe mbali kutoka katika Israeli.+ Kwa sababu maji ya kutakasa+ hayakunyunyizwa juu yake, anaendelea kuwa asiye safi. Uchafu wake bado uko juu yake.+

  • Hesabu 19:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “‘Nayo itatumika kama sheria mpaka wakati usio na kipimo kwa ajili yao, kwamba yule anayetapanya maji kwa ajili ya kutakasa anapaswa kuyafua mavazi yake,+ pia yule anayegusa maji ya kutakasa. Atakuwa asiye safi mpaka jioni.

  • Hesabu 31:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 kila kitu ambacho hustahimili moto, ndicho mtakachokipitisha motoni,+ nacho kitakuwa safi. Ila kinapaswa kutakaswa kwa kutumia maji ya kutakasa.+ Na kila kitu ambacho hakiwezi kustahimili moto mtakipitisha katika maji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki