18 Ndipo mtu aliye safi+ atachukua hisopo+ na kuichovya ndani ya maji yale na kuyatapanya juu ya hema na vyombo vyote na nafsi zote zilizokuwa hapo na juu ya yule aliyegusa mfupa au mtu aliyeuawa au maiti au kaburi.
10 bali zinahusu tu vyakula+ na vinywaji+ na mabatizo+ mbalimbali. Hayo yalikuwa matakwa ya kisheria yanayohusiana na mwili+ nayo yaliamriwa mpaka wakati uliowekwa wa kunyoosha mambo.+
13 Kwa maana ikiwa damu ya mbuzi+ na ya ng’ombe-dume+ na majivu+ ya ndama-jike yaliyonyunyizwa juu ya wale ambao wametiwa unajisi+ hutakasa kufikia usafi wa mwili,+