9 “‘Na mwanamume aliye safi atayakusanya majivu+ ya ng’ombe huyo na kuyaweka nje ya kambi katika mahali safi; nayo yatatumika kama kitu cha kuwekwa kwa ajili ya yale maji ya kutakasa kwa wana wa Israeli.+ Ni toleo la dhambi.
23 kila kitu ambacho hustahimili moto, ndicho mtakachokipitisha motoni,+ nacho kitakuwa safi. Ila kinapaswa kutakaswa kwa kutumia maji ya kutakasa.+ Na kila kitu ambacho hakiwezi kustahimili moto mtakipitisha katika maji.+