Kumbukumbu la Torati 10:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Nao wana wa Israeli wakaondoka Beerothi Bene-yaakani+ wakielekea Mosera. Huko Haruni akafa, naye akazikwa huko;+ na Eleazari mwana wake akawa kuhani badala yake.+ Waebrania 7:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Zaidi ya hayo, ilikuwa lazima wengi wawe makuhani kwa mfuatano+ kwa sababu ya kuzuiwa na kifo+ wasiendelee kuwa hivyo,
6 “Nao wana wa Israeli wakaondoka Beerothi Bene-yaakani+ wakielekea Mosera. Huko Haruni akafa, naye akazikwa huko;+ na Eleazari mwana wake akawa kuhani badala yake.+
23 Zaidi ya hayo, ilikuwa lazima wengi wawe makuhani kwa mfuatano+ kwa sababu ya kuzuiwa na kifo+ wasiendelee kuwa hivyo,