Mambo ya Walawi 6:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Sema na Haruni na wanawe, na kuwaambia, ‘Hii ndiyo sheria ya toleo la dhambi:+ Katika mahali+ ambapo toleo la kuteketezwa huchinjiwa kwa ukawaida, toleo la dhambi litachinjwa mbele za Yehova. Ni kitu kitakatifu zaidi.+ Mambo ya Walawi 21:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Anaweza kula mkate wa Mungu wake kutoka kati ya vitu vitakatifu zaidi+ na kutoka kati ya vitu vitakatifu.+
25 “Sema na Haruni na wanawe, na kuwaambia, ‘Hii ndiyo sheria ya toleo la dhambi:+ Katika mahali+ ambapo toleo la kuteketezwa huchinjiwa kwa ukawaida, toleo la dhambi litachinjwa mbele za Yehova. Ni kitu kitakatifu zaidi.+
22 Anaweza kula mkate wa Mungu wake kutoka kati ya vitu vitakatifu zaidi+ na kutoka kati ya vitu vitakatifu.+