Mambo ya Walawi 6:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mwana wa Haruni atakayetiwa mafuta ili kuwa kuhani baada yake+ atatoa toleo hilo. Ni sheria ya kudumu: Kwa kuwa toleo hilo linatolewa kwa Yehova likiwa zima litateketezwa ili moshi ufuke mbele zake.
22 Mwana wa Haruni atakayetiwa mafuta ili kuwa kuhani baada yake+ atatoa toleo hilo. Ni sheria ya kudumu: Kwa kuwa toleo hilo linatolewa kwa Yehova likiwa zima litateketezwa ili moshi ufuke mbele zake.