Zaburi 96:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Semeni kati ya mataifa: “Yehova amekuwa mfalme.+Nchi yenye kuzaa pia hufanywa imara ili isitikiswe.+Yeye atatetea kwa unyoofu vikundi vya watu katika kesi yao.”+ Ufunuo 19:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nami nikasikia kitu kama sauti ya umati mkubwa na kama sauti ya maji mengi na kama sauti ya ngurumo nzito. Wakasema: “Msifuni Yah,+ kwa sababu Yehova Mungu wetu, Mweza-Yote,+ ameanza kutawala akiwa mfalme.+
10 Semeni kati ya mataifa: “Yehova amekuwa mfalme.+Nchi yenye kuzaa pia hufanywa imara ili isitikiswe.+Yeye atatetea kwa unyoofu vikundi vya watu katika kesi yao.”+
6 Nami nikasikia kitu kama sauti ya umati mkubwa na kama sauti ya maji mengi na kama sauti ya ngurumo nzito. Wakasema: “Msifuni Yah,+ kwa sababu Yehova Mungu wetu, Mweza-Yote,+ ameanza kutawala akiwa mfalme.+