-
2 Mambo ya Nyakati 2:4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
4 tazama, ninajenga+ nyumba kwa ajili ya jina+ la Yehova Mungu wangu, ili niitakase+ kwake, ili kufukiza mbele zake uvumba uliotiwa manukato,+ pamoja na mkate+ wa tabaka wa daima na matoleo ya kuteketezwa wakati wa asubuhi na jioni,+ wakati wa sabato+ na wakati wa miezi mipya+ na kwenye majira ya sherehe+ ya Yehova Mungu wetu. Hayo yatakuwa juu ya Israeli mpaka wakati usio na kipimo.+
-
-
2 Mambo ya Nyakati 31:3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 Na kulikuwa na fungu la mfalme kutoka katika mali zake mwenyewe+ kwa ajili ya matoleo ya kuteketezwa,+ kwa ajili ya matoleo ya kuteketezwa ya asubuhi+ na jioni, na pia matoleo ya kuteketezwa kwa ajili ya sabato+ na kwa ajili ya miezi mipya+ na kwa ajili ya majira ya sherehe,+ kulingana na yaliyoandikwa katika sheria ya Yehova.+
-