Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 29:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Nawe utamtoa mwana-kondoo dume mmoja asubuhi,+ na kumtoa yule mwana-kondoo dume mwingine kati ya zile jioni mbili.+

  • Hesabu 28:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Nawe utawaambia, ‘Hili ndilo toleo linalotolewa kwa njia ya moto ambalo mtamtolea Yehova: wana-kondoo dume ambao hawana kasoro wenye umri wa mwaka mmoja, wawili kila siku wakiwa toleo la kuteketezwa daima.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 tazama, ninajenga+ nyumba kwa ajili ya jina+ la Yehova Mungu wangu, ili niitakase+ kwake, ili kufukiza mbele zake uvumba uliotiwa manukato,+ pamoja na mkate+ wa tabaka wa daima na matoleo ya kuteketezwa wakati wa asubuhi na jioni,+ wakati wa sabato+ na wakati wa miezi mipya+ na kwenye majira ya sherehe+ ya Yehova Mungu wetu. Hayo yatakuwa juu ya Israeli mpaka wakati usio na kipimo.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 31:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na kulikuwa na fungu la mfalme kutoka katika mali zake mwenyewe+ kwa ajili ya matoleo ya kuteketezwa,+ kwa ajili ya matoleo ya kuteketezwa ya asubuhi+ na jioni, na pia matoleo ya kuteketezwa kwa ajili ya sabato+ na kwa ajili ya miezi mipya+ na kwa ajili ya majira ya sherehe,+ kulingana na yaliyoandikwa katika sheria ya Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki