2 Mambo ya Nyakati 30:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana Hezekia mfalme wa Yuda alichanga+ kwa ajili ya kutaniko ng’ombe elfu moja na kondoo elfu saba, na wakuu+ wakachanga kwa ajili ya kutaniko ng’ombe elfu moja na kondoo elfu kumi; na hesabu kubwa ya makuhani+ wakaendelea kujitakasa.
24 Kwa maana Hezekia mfalme wa Yuda alichanga+ kwa ajili ya kutaniko ng’ombe elfu moja na kondoo elfu saba, na wakuu+ wakachanga kwa ajili ya kutaniko ng’ombe elfu moja na kondoo elfu kumi; na hesabu kubwa ya makuhani+ wakaendelea kujitakasa.