34 Ila tu makuhani+ walikuwa wachache mno, nao hawakuweza kuchuna ngozi yale matoleo yote ya kuteketezwa.+ Kwa hiyo ndugu+ zao Walawi wakawasaidia mpaka kazi ilipoisha+ na mpaka makuhani walipokuwa wamejitakasa,+ kwa kuwa Walawi walikuwa wanyoofu+ zaidi wa moyo katika kujitakasa kuliko makuhani.