34 Lakini hakukuwa na makuhani wa kutosha kuwachuna ngozi wanyama wote wa dhabihu za kuteketezwa, kwa hiyo ndugu zao Walawi waliwasaidia+ mpaka kazi hiyo ilipoisha na mpaka makuhani walipoweza kujitakasa,+ kwa kuwa Walawi walikuwa na bidii zaidi ya kujitakasa kuliko makuhani.