2 Hata hivyo, mfalme, wakuu wake, na kutaniko lote Yerusalemu likaamua kuadhimisha Pasaka katika mwezi wa pili,+ 3 kwa maana hawakuweza kuiadhimisha wakati ambapo iliadhimishwa kwa ukawaida,+ kwa sababu hakukuwa na makuhani wa kutosha waliojitakasa+ na watu hawakuwa wamekusanyika Yerusalemu.