-
Hesabu 9:10, 11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
10 “Waambie hivi Waisraeli: ‘Mtu yeyote miongoni mwenu au miongoni mwa vizazi vyenu vijavyo akijichafua kwa kumgusa mtu aliyekufa+ au akisafiri mbali, bado anapaswa kumtayarishia Yehova dhabihu ya Pasaka. 11 Watu hao wanapaswa kuitayarisha katika mwezi wa pili,+ siku ya 14 kabla ya giza kuingia.* Wanapaswa kuila pamoja na mikate isiyo na chachu na mboga chungu.+
-