Hesabu 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Sema na wana wa Israeli, na kuwaambia, ‘Ingawa huenda mtu yeyote kati yenu au wa vizazi vyenu akawa najisi kwa sababu ya nafsi+ au ameenda safari ya mbali, yeye pia lazima atamtayarishia Yehova dhabihu ya pasaka. Hesabu Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 9:10 Mnara wa Mlinzi,2/1/1993, uku. 31
10 “Sema na wana wa Israeli, na kuwaambia, ‘Ingawa huenda mtu yeyote kati yenu au wa vizazi vyenu akawa najisi kwa sababu ya nafsi+ au ameenda safari ya mbali, yeye pia lazima atamtayarishia Yehova dhabihu ya pasaka.