10 Matayarisho ya utumishi huo yakafanywa, na makuhani wakasimama mahali pao na Walawi wakasimama kulingana na vikundi vyao,+ kama mfalme alivyokuwa ameamuru. 11 Wakawachinja wanyama wa Pasaka,+ na makuhani wakanyunyiza damu waliyopokea kutoka kwao,+ huku Walawi wakiwachuna ngozi wanyama hao.+