Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 8:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nitampa Haruni na wanawe Walawi hao wakiwa watu waliokabidhiwa kutoka miongoni mwa Waisraeli, ili watumikie katika hema la mkutano+ kwa niaba ya Waisraeli na kutoa dhabihu ya kufunika dhambi za Waisraeli, na ili Waisraeli wasipatwe na pigo lolote+ kwa sababu wao hukaribia mahali patakatifu.”

  • 2 Mambo ya Nyakati 30:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kulikuwa na watu wengi katika kutaniko hilo ambao hawakuwa wamejitakasa, na Walawi ndio waliowachinja wanyama wa dhabihu za Pasaka kwa ajili ya wote ambao hawakuwa safi,+ ili wawatakase kwa Yehova.

  • 2 Mambo ya Nyakati 35:10, 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Matayarisho ya utumishi huo yakafanywa, na makuhani wakasimama mahali pao na Walawi wakasimama kulingana na vikundi vyao,+ kama mfalme alivyokuwa ameamuru. 11 Wakawachinja wanyama wa Pasaka,+ na makuhani wakanyunyiza damu waliyopokea kutoka kwao,+ huku Walawi wakiwachuna ngozi wanyama hao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki