Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Utawakabidhi Walawi kwa Haruni na wanawe. Ni watu waliokabidhiwa, ambao Haruni amekabidhiwa kutoka kati ya Waisraeli.+

  • Hesabu 18:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mimi mwenyewe nimewachukua ndugu zenu, Walawi, kutoka miongoni mwa Waisraeli na kuwakabidhi ninyi kama zawadi.+ Wamekabidhiwa kwa Yehova ili watumikie katika hema la mkutano.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 23:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Walitimiza pia majukumu yao kuhusiana na hema la mkutano, mahali patakatifu, na kuhusiana na ndugu zao wana wa Haruni katika utumishi wa nyumba ya Yehova.

  • Ezekieli 44:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nao watakuwa wahudumu wa mahali pangu patakatifu ili kusimamia malango ya hekalu+ na kuhudumu hekaluni. Watawachinja wanyama wa dhabihu nzima za kuteketezwa na dhabihu kwa ajili ya watu, nao watasimama mbele ya watu ili kuwahudumia.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki