1 Mambo ya Nyakati 29:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nami ninajua vema, Ee Mungu wangu, kwamba wewe ni mchunguzaji wa moyo,+ nawe unafurahia unyoofu.+ Nami katika unyoofu wa moyo wangu, nimetoa kwa hiari vitu hivi vyote, na sasa watu wako waliopo hapa nimefurahi kuona wakikutolea matoleo kwa hiari. Zaburi 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ngao yangu iko juu ya Mungu,+ Mwokozi wa wale walio wanyoofu moyoni.+ Zaburi 94:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana uamuzi wa hukumu utarudi hata kwa uadilifu,+Na wote walio wanyoofu moyoni wataufuata.
17 Nami ninajua vema, Ee Mungu wangu, kwamba wewe ni mchunguzaji wa moyo,+ nawe unafurahia unyoofu.+ Nami katika unyoofu wa moyo wangu, nimetoa kwa hiari vitu hivi vyote, na sasa watu wako waliopo hapa nimefurahi kuona wakikutolea matoleo kwa hiari.