Zaburi 125:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ee Yehova, utende mema kwa walio wema,+Naam, kwa walio wanyoofu mioyoni mwao.+ Methali 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana wanyoofu ndio watakaokaa duniani,+ na wasio na lawama ndio watakaobaki ndani yake.+