Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 32:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Shangilieni katika Yehova na kuwa na shangwe, enyi waadilifu;+

      Na mpige vigelegele vya shangwe, ninyi nyote mlio wanyoofu katika moyo.+

  • Zaburi 36:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Endeleza fadhili zako zenye upendo kwa wale wanaokujua,+

      Na uadilifu wako kwa wale walio wanyoofu moyoni.+

  • Zaburi 97:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nuru imemwangazia mwadilifu,+

      Na shangwe kwa ajili ya walio wanyoofu moyoni.+

  • Yohana 1:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Yesu akamwona Nathanaeli akimjia na kusema juu yake: “Ona, Mwisraeli kwa uhakika, ambaye hamna udanganyifu ndani yake.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki