Zaburi 32:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Shangilieni katika Yehova na kuwa na shangwe, enyi waadilifu;+Na mpige vigelegele vya shangwe, ninyi nyote mlio wanyoofu katika moyo.+ Zaburi 36:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Endeleza fadhili zako zenye upendo kwa wale wanaokujua,+Na uadilifu wako kwa wale walio wanyoofu moyoni.+ Zaburi 97:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nuru imemwangazia mwadilifu,+Na shangwe kwa ajili ya walio wanyoofu moyoni.+ Yohana 1:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Yesu akamwona Nathanaeli akimjia na kusema juu yake: “Ona, Mwisraeli kwa uhakika, ambaye hamna udanganyifu ndani yake.”+
11 Shangilieni katika Yehova na kuwa na shangwe, enyi waadilifu;+Na mpige vigelegele vya shangwe, ninyi nyote mlio wanyoofu katika moyo.+
10 Endeleza fadhili zako zenye upendo kwa wale wanaokujua,+Na uadilifu wako kwa wale walio wanyoofu moyoni.+
47 Yesu akamwona Nathanaeli akimjia na kusema juu yake: “Ona, Mwisraeli kwa uhakika, ambaye hamna udanganyifu ndani yake.”+