2 Mambo ya Nyakati 30:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana palikuwa na wengi katika kutaniko ambao hawakuwa wamejitakasa; na Walawi+ walikuwa wakisimamia kuchinjwa kwa wanyama wa pasaka+ kwa ajili ya wote ambao hawakuwa safi, ili kuwatakasa kwa Yehova.
17 Kwa maana palikuwa na wengi katika kutaniko ambao hawakuwa wamejitakasa; na Walawi+ walikuwa wakisimamia kuchinjwa kwa wanyama wa pasaka+ kwa ajili ya wote ambao hawakuwa safi, ili kuwatakasa kwa Yehova.