3 Naye akawaambia Walawi, wafundishaji+ wa Israeli yote, wale walio watakatifu kwa Yehova: “Wekeni Sanduku takatifu+ ndani ya nyumba+ aliyojenga Sulemani mwana wa Daudi mfalme wa Israeli; lisiendelee kuwa mzigo juu ya mabega yenu.+ Sasa mtumikieni+ Yehova Mungu wenu, na Israeli watu wake.