9 Je, ni jambo dogo sana kwenu ya kwamba Mungu wa Israeli amewatenga+ ninyi mbali na kusanyiko la Israeli ili kuwaleta ninyi kwake mpate kuendeleza utumishi wa maskani ya Yehova na kusimama mbele ya kusanyiko ili kuwahudumia,+
1Paulo, mtumwa+ wa Mungu na mtume+ wa Yesu Kristo kulingana na imani ya waliochaguliwa+ wa Mungu na ujuzi sahihi+ wa ile kweli+ ambayo inapatana na ujitoaji-kimungu+