Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 16:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Je, ni jambo dogo sana kwenu ya kwamba Mungu wa Israeli amewatenga+ ninyi mbali na kusanyiko la Israeli ili kuwaleta ninyi kwake mpate kuendeleza utumishi wa maskani ya Yehova na kusimama mbele ya kusanyiko ili kuwahudumia,+

  • Zaburi 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mtumikieni Yehova kwa woga+

      Na mshangilie kwa kutetemeka.+

  • Zaburi 100:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Mtumikieni Yehova kwa kushangilia.+

      Njooni mbele zake kwa vigelegele vya shangwe.+

  • Tito 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Paulo, mtumwa+ wa Mungu na mtume+ wa Yesu Kristo kulingana na imani ya waliochaguliwa+ wa Mungu na ujuzi sahihi+ wa ile kweli+ ambayo inapatana na ujitoaji-kimungu+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki