3 Kama mtu yeyote akifundisha fundisho lingine+ na hakubaliani na maneno yenye afya,+ yale ya Bwana wetu Yesu Kristo, wala na fundisho ambalo linapatana na ujitoaji-kimungu,+
3 kwa maana nguvu zake za kimungu zimetupa sisi bila malipo mambo yote yanayohusu uzima+ na ujitoaji-kimungu,+ kupitia ujuzi sahihi juu ya yeye ambaye alituita+ kupitia utukufu+ na wema wa adili.