38 na katika mwaka wa kumi na moja, katika mwezi wa Buli, yaani, mwezi wa nane, nyumba ikakamilika+ kuhusiana na mambo yake yote na ramani yake yote;+ hivi kwamba alitumia miaka saba kuijenga.
7 Ndipo makuhani wakaliingiza sanduku la agano la Yehova mahali pake, ndani ya chumba cha ndani kabisa+ cha nyumba, ndani ya Patakatifu Zaidi,+ chini ya mabawa ya wale makerubi.+