- 
	                        
            
            2 Mambo ya Nyakati 35:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        8 Na wakuu+ wake wakatoa mchango uwe toleo la hiari kwa ajili ya watu,+ kwa ajili ya makuhani na kwa ajili ya Walawi. Hilkia+ na Zekaria na Yehieli wakiwa viongozi wa nyumba ya Mungu wa kweli wakawapa makuhani kwa ajili ya wanyama wa pasaka wana-kondoo na wana-mbuzi elfu mbili na mia sita, na ng’ombe mia tatu. 
 
-