Zaburi 106:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ni nani anayeweza kuyasema matendo yenye nguvu ya Yehova,+Au anayeweza kufanya sifa yake yote isikiwe?+ Zaburi 111:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Amefanya ukumbusho kwa ajili ya kazi zake za ajabu.+ ח [Chehth]Yehova ni mwenye neema na mwenye rehema.+
2 Ni nani anayeweza kuyasema matendo yenye nguvu ya Yehova,+Au anayeweza kufanya sifa yake yote isikiwe?+
4 Amefanya ukumbusho kwa ajili ya kazi zake za ajabu.+ ח [Chehth]Yehova ni mwenye neema na mwenye rehema.+