Zaburi 106:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ni nani anayeweza kutangaza kikamili matendo ya Yehova yenye nguvuAu kutangaza matendo yake yote yanayostahili sifa?+
2 Ni nani anayeweza kutangaza kikamili matendo ya Yehova yenye nguvuAu kutangaza matendo yake yote yanayostahili sifa?+