Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 20:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hata hivyo, Abimeleki hakuwa amemkaribia.+ Kwa hiyo akasema: “Yehova, je, utaua taifa ambalo kwa kweli ni lenye uadilifu?+

  • Hesabu 16:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Ndipo wakaanguka kifudifudi na kusema: “Ee Mungu, Mungu wa roho za kila namna ya mwili,+ je, mtu mmoja tu atatenda dhambi nawe ulikasirikie kusanyiko lote?”+

  • Ayubu 34:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Yupo Yeye ambaye hajaonyesha upendeleo kwa wakuu

      Wala hakumwonyesha mwenye cheo ufikirio kuliko yule wa hali ya chini,+

      Kwa maana wao wote ni kazi ya mikono yake.+

  • Yeremia 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na Yehova akaniambia: “Kama Musa+ na Samweli+ wangekuwa wamesimama mbele zangu, nafsi yangu haingewaelekea watu hawa.+ Wangefukuzwa mbele za uso wangu, ili watoke waende.+

  • Mathayo 13:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Hivyo ndivyo itakavyokuwa katika umalizio wa mfumo wa mambo: malaika watatoka kwenda na kuwatenga waovu+ kutoka katikati ya waadilifu+

  • Waroma 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Hata hivyo, ikiwa ukosefu wetu wa uadilifu unatokeza wazi uadilifu+ wa Mungu, tutasema nini? Je, Mungu hukosa haki+ anapofungulia ghadhabu yake? (Ninasema kama mwanadamu+ anavyosema.)

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki