22 Ndipo wakaanguka kifudifudi na kusema: “Ee Mungu, Mungu wa roho za kila namna ya mwili,+ je, mtu mmoja tu atatenda dhambi nawe ulikasirikie kusanyiko lote?”+
15Na Yehova akaniambia: “Kama Musa+ na Samweli+ wangekuwa wamesimama mbele zangu, nafsi yangu haingewaelekea watu hawa.+ Wangefukuzwa mbele za uso wangu, ili watoke waende.+
5 Hata hivyo, ikiwa ukosefu wetu wa uadilifu unatokeza wazi uadilifu+ wa Mungu, tutasema nini? Je, Mungu hukosa haki+ anapofungulia ghadhabu yake? (Ninasema kama mwanadamu+ anavyosema.)