3 Ikawa kwamba mara tu niliposikia jambo hili nilipasua vazi+ na koti langu lisilo na mikono, nami nikaanza kung’oa sehemu ya nywele za kichwa changu+ na za ndevu zangu, nikaendelea kukaa nikiwa nimepigwa na bumbuazi.+
16 Fanya upara, unyoe nywele zako kwa sababu ya wana wa furaha yako tele.+ Panua upara wako kama ule wa tai, kwa sababu wameondoka kwako kwenda uhamishoni.”+