Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 12:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na Daudi akaanza kumtafuta Mungu wa kweli kwa ajili ya yule mvulana, Daudi akafunga kabisa,+ akaingia ndani, akakesha usiku na kulala chini kwenye udongo.+

  • Isaya 3:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na milango yake italazimika kuomboleza na kuhuzunika,+ naye hakika ataachwa ukiwa. Atakaa chini kwenye udongo.”+

  • Mathayo 26:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Naye akasonga mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akasali+ na kusema: “Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki+ na kipitilie mbali kutoka kwangu. Lakini, si kulingana na mapenzi yangu,+ bali kulingana na mapenzi yako.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki