16 Na Daudi akaanza kumtafuta Mungu wa kweli kwa ajili ya yule mvulana, Daudi akafunga kabisa,+ akaingia ndani, akakesha usiku na kulala chini kwenye udongo.+
39 Naye akasonga mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akasali+ na kusema: “Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki+ na kipitilie mbali kutoka kwangu. Lakini, si kulingana na mapenzi yangu,+ bali kulingana na mapenzi yako.”+