2 Samweli 12:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Daudi akamsihi sana Mungu wa kweli kwa ajili ya mvulana huyo. Daudi akafunga kabisa, naye alikuwa akiingia chumbani mwake na kulala chini usiku kucha.+
16 Daudi akamsihi sana Mungu wa kweli kwa ajili ya mvulana huyo. Daudi akafunga kabisa, naye alikuwa akiingia chumbani mwake na kulala chini usiku kucha.+