8 Wote wavae magunia, mwanadamu na mnyama; na wamwite Mungu kwa bidii na kuacha njia zao ovu na matendo yao ya ukatili. 9 Ni nani anayejua ikiwa Mungu wa kweli hatafikiria upya jambo analokusudia kufanya na kuacha hasira yake inayowaka, ili tusiangamie?”