Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 38:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Nakusihi, Ee Yehova, tafadhali, kumbuka+ jinsi ambavyo nimetembea mbele zako kwa uaminifu na kwa moyo kamili,+ nami nimetenda mambo mema machoni pako.” Kisha Hezekia akaanza kulia sana na kububujikwa na machozi.

  • Isaya 38:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Rudi ukamwambie Hezekia,+ ‘Yehova, Mungu wa Daudi babu yako anasema hivi: “Nimesikia sala yako.+ Nimeona machozi yako.+ Sasa ninakuongezea miaka 15 ya kuishi,*+

  • Yoeli 2:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Irarueni mioyo yenu,+ wala si mavazi yenu,+

      Nanyi mrudi kwa Yehova Mungu wenu,

      Kwa maana ni mwenye huruma* na rehema, si mwepesi wa hasira,+ naye ana upendo mwingi mshikamanifu,+

      Naye atafikiria upya* msiba aliokusudia kuleta.

      14 Ni nani ajuaye ikiwa hatabadili nia na kuufikiria upya*+

      Na kuwaachia baraka,

      Ili mweze kumtolea Yehova Mungu wenu toleo la nafaka na toleo la kinywaji?

  • Amosi 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Chukieni maovu, pendeni yaliyo mema,+

      Acheni haki itawale kwenye lango la jiji.+

      Huenda Yehova Mungu wa majeshi

      Atawaonyesha kibali wazao waliobaki wa Yosefu.’+

  • Yona 3:8, 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Wote wavae magunia, mwanadamu na mnyama; na wamwite Mungu kwa bidii na kuacha njia zao ovu na matendo yao ya ukatili. 9 Ni nani anayejua ikiwa Mungu wa kweli hatafikiria upya* jambo analokusudia kufanya na kuacha hasira yake inayowaka, ili tusiangamie?”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki