-
2 Wafalme 20:4-6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
4 Isaya hakuwa amefika katika ua wa katikati, neno la Yehova lilipomjia likisema:+ 5 “Rudi ukamwambie Hezekia, kiongozi wa watu wangu, ‘Yehova Mungu wa Daudi babu yako anasema hivi: “Nimesikia sala yako. Nimeona machozi yako.+ Tazama, ninakuponya.+ Siku ya tatu utapanda kwenda katika nyumba ya Yehova.+ 6 Nitakuongezea miaka 15 ya kuishi,* nami nitakuokoa wewe na jiji hili kutoka mikononi mwa mfalme wa Ashuru,+ nami nitalilinda jiji hili kwa ajili yangu mwenyewe na kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu.”’”+
-