2 Samweli 12:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Daudi akamsihi sana Mungu wa kweli kwa ajili ya mvulana huyo. Daudi akafunga kabisa, naye alikuwa akiingia chumbani mwake na kulala chini usiku kucha.+ Yoeli 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Tangazeni watu wafunge;* waiteni watu kwenye kusanyiko takatifu.+ Wakusanyeni wazee, pamoja na wakaaji wote wa nchi,Kwenye nyumba ya Yehova Mungu wenu,+ nanyi mlilieni Yehova awasaidie.
16 Daudi akamsihi sana Mungu wa kweli kwa ajili ya mvulana huyo. Daudi akafunga kabisa, naye alikuwa akiingia chumbani mwake na kulala chini usiku kucha.+
14 Tangazeni watu wafunge;* waiteni watu kwenye kusanyiko takatifu.+ Wakusanyeni wazee, pamoja na wakaaji wote wa nchi,Kwenye nyumba ya Yehova Mungu wenu,+ nanyi mlilieni Yehova awasaidie.