2 Samweli 13:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Ndipo mfalme akasimama, akazirarua nguo zake,+ akalala chini,+ na watumishi wake wote wakasimama kando, mavazi yao yakiwa yameraruliwa.+
31 Ndipo mfalme akasimama, akazirarua nguo zake,+ akalala chini,+ na watumishi wake wote wakasimama kando, mavazi yao yakiwa yameraruliwa.+