2 Samweli 12:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Naye akasema: “Nilifunga,+ nikawa nikilia+ mtoto alipokuwa bado hai, kwa sababu nilisema, ‘Ni nani anayejua kama Yehova huenda akanipa kibali, na hakika mtoto aishi?’+ Yona 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ni nani anayejua iwapo Mungu wa kweli hatageuka na kujuta+ na kuacha hasira yake inayowaka, tusije tukaangamia?”+
22 Naye akasema: “Nilifunga,+ nikawa nikilia+ mtoto alipokuwa bado hai, kwa sababu nilisema, ‘Ni nani anayejua kama Yehova huenda akanipa kibali, na hakika mtoto aishi?’+
9 Ni nani anayejua iwapo Mungu wa kweli hatageuka na kujuta+ na kuacha hasira yake inayowaka, tusije tukaangamia?”+