Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 38:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Nenda, umwambie Hezekia, ‘Yehova, Mungu wa Daudi babu yako+ amesema hivi: “Nimeisikia sala yako.+ Nimeyaona machozi yako.+ Tazama, naongeza miaka kumi na mitano juu ya siku zako;+

  • Yoeli 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ni nani anayejua ikiwa yeye hatageuka na kujuta+ na baada ya hayo abakize baraka,+ toleo la nafaka na toleo la kinywaji kwa ajili ya Yehova Mungu wenu?

  • Amosi 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Chukieni yaliyo mabaya, pendeni yaliyo mema,+ na mwipatie haki nafasi langoni.+ Huenda ikawa Yehova Mungu wa majeshi atawapa kibali+ mabaki ya Yosefu.’+

  • Yona 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ni nani anayejua iwapo Mungu wa kweli hatageuka na kujuta+ na kuacha hasira yake inayowaka, tusije tukaangamia?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki