2 Wafalme 20:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Rudi, umwambie Hezekia kiongozi+ wa watu wangu, ‘Yehova, Mungu+ wa Daudi babu yako, amesema hivi: “Nimeisikia+ sala+ yako. Nimeyaona machozi+ yako. Tazama, ninakuponya.+ Siku ya tatu utapanda kwenda katika nyumba ya Yehova.+ Zaburi 39:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Uisikie sala yangu, Ee Yehova,Na usikilize kilio changu cha kutaka msaada.+Usikae kimya machozi yangu yanapotoka.+Kwa maana, kwako, mimi ni mkaaji mgeni tu,+Mhamiaji kama vile mababu zangu wote.+ Zaburi 56:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wewe mwenyewe umetoa habari juu ya kuwa kwangu mkimbizi.+Uyaweke machozi yangu katika kiriba chako.+Je, hayamo katika kitabu chako?+
5 “Rudi, umwambie Hezekia kiongozi+ wa watu wangu, ‘Yehova, Mungu+ wa Daudi babu yako, amesema hivi: “Nimeisikia+ sala+ yako. Nimeyaona machozi+ yako. Tazama, ninakuponya.+ Siku ya tatu utapanda kwenda katika nyumba ya Yehova.+
12 Uisikie sala yangu, Ee Yehova,Na usikilize kilio changu cha kutaka msaada.+Usikae kimya machozi yangu yanapotoka.+Kwa maana, kwako, mimi ni mkaaji mgeni tu,+Mhamiaji kama vile mababu zangu wote.+
8 Wewe mwenyewe umetoa habari juu ya kuwa kwangu mkimbizi.+Uyaweke machozi yangu katika kiriba chako.+Je, hayamo katika kitabu chako?+