Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 20:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Rudi, umwambie Hezekia kiongozi+ wa watu wangu, ‘Yehova, Mungu+ wa Daudi babu yako, amesema hivi: “Nimeisikia+ sala+ yako. Nimeyaona machozi+ yako. Tazama, ninakuponya.+ Siku ya tatu utapanda kwenda katika nyumba ya Yehova.+

  • Zaburi 39:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Uisikie sala yangu, Ee Yehova,

      Na usikilize kilio changu cha kutaka msaada.+

      Usikae kimya machozi yangu yanapotoka.+

      Kwa maana, kwako, mimi ni mkaaji mgeni tu,+

      Mhamiaji kama vile mababu zangu wote.+

  • Zaburi 56:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Wewe mwenyewe umetoa habari juu ya kuwa kwangu mkimbizi.+

      Uyaweke machozi yangu katika kiriba chako.+

      Je, hayamo katika kitabu chako?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki